Back to home

Mawakili wa Sarah Wairimu wahoji kuondolewa kwa mwili wa Tob Cohen

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 13, 2026
6h ago
Mawakili wa mshukiwa wa mauaji ya Tob Cohen, Sarah Wairimu, wamezua maswali kuhusu kuhusishwa kwa vijana wasio maafisa wa polisi katika kuondoa mwili wa Cohen kutoka kwenye tenki la maji la ardhini katika boma lake, mtaa wa Kitisuru. Wakili wa Wairimu, Christine Kariuki, akimhoj
Advertisement