Back to home
Mwakilishi wa Wadi ya Viwandani akamatwa kwa madai ya uporaji na uharibifu wa mali
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
1h ago
Mwakilishi wa wadi ya viwandani, Aron king amekamatwa na polisi kwa madai ya uporaji na uharibifu wa mali katika eneo la Donholm jijini Nairobi huku hali ya usalama ikiendelea kuzorota katika eneo hilo baada ya ofisi ya mwakilishi wadi huyo kuteketezwa na baadhi ya wakazi wa eneo
Advertisement
Advertisement





