Back to home
Mbunge wa bunge la Afrika mashariki Kanini Kega aripoti shambulizi la gari lake polisi Ol Joro Orok
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
1h ago
Kanini Kega ameandikisha taarifa katika kituo cha polisi cha Ol Joro Orok baada ya gari lake kuvamiwa na kupigwa risasi jana alipokuwa akitoka kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Ol-kalou.
Advertisement
Advertisement





