Back to home
Kanja na Amin waagizwa tena kufika mahakamani kuhusu vijana waliopotea
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
1h ago
Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja na Mkurugenzi wa DCI Mohamed Amin wameagizwa kwa mara ya pili kufika mahakamani kueleza waliko vijana watatu waliotoweka kabla na wakati wa maadhimisho ya Juni 25.
Maafisa hao walitarajiwa kufika mahakamani leo lakini hawakufika, huku wa
Advertisement
Advertisement




