Back to home
IEBC na Idara ya polisi watoa hakikisho kuwa uchaguzi wa Ol Kalou utakuwa wa huru na haki
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 14, 2026
1h ago
IEBC kwa ushirikiano na Idara ya polisi na washikadau wengine wanaohusika na uchaguzi nchini imetoa hakikisho kuwa mikakati kabambe imewekwa kuhakikisha kuwa uchaguzi katika eneo la Ol Kalou kaunti ya Nyandarua utakuwa wa huru na haki.
Subscribe and watch NTV Kenya live for late
Advertisement
Advertisement




