Back to home
Waziri wa elimu Ogamba ahojiwa bungeni kuhusu ufadhili wa vyuo vya kiufundi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 15, 2026
2h ago
Julius Migos Ogamba amefika mbele ya Kamati ya Bunge ya Elimu kujibu maswali kuhusu hatma ya vyuo vya kiufundi nchini, huku suala la ufadhili wa taasisi hizo likitawala mjadala.
Advertisement
Advertisement




