Back to home

Baraza la wazee la waluo lawakemea wanasiasa kutokana na vurugu zilizoshuhudiwa jijini Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 16, 2026
2h ago
Baraza la wazee wa jamii ya Waluo lawakosoa viongozi wa kisiasa kutokana na vurugu zilizoshuhudiwa jijini Kisumu. Naibu mwenyekiti wa baraza hilo James Ayaga asema kuwa vurugu hizo hazingetokea iwapo viongozi wangekuwa na hekima na kufuata sheria zilizoko iwapo wangehitaji usalam
Advertisement