Back to home
Uchaguzi mdogo wa Ol Kalou waendelea kwa utulivu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 16, 2026
1h ago
Uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou kaunti ya Nyandarua unaendelea shwari. Uchaguzi huo umeshuhudia idadi kubwa ya Wapiga Kura waliojitokeza kumchagua mbunge atakayemrithi David Kiaraho aliyefariki mwezi machi mwaka huu.
Advertisement
Advertisement





