Back to home
Kuhesabu kura kwaendelea Ol Kalou
video
C
Citizen TV (Youtube)July 16, 2026
1h ago
Zoezi la kuhesabu kura linaendelea katika eneo bunge la Ol Kalou, ambako wakazi walishiriki uchaguzi mdogo wa ubunge. Maafisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), pamoja na mawakala wa wagombea, wanaendelea na zoezi hilo katika Shule ya Msingi ya Ol Kalou. Sasa tunajiunga n
Advertisement
Advertisement




