Back to home
Wazee wa jamii ya maa kajiado wataka rais William Ruto atimize ahadi kuhusu usimamizi wa Amboseli
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Baraza la wazee kutoka Jamii ya Maa watishia kuongoza jamii hiyo kutounga mkono azma ya rais William Ruto kutetea muhula wake wa pili ofisini Iwapo mzozo uzingirao uhamisho wa usimamizi wa mbuga ya Kitaifa ya Amboseli hadi serikali ya kaunti ya Kajiado hautatuliwa
Advertisement
Advertisement




