Back to home
Fainali za Ligi ya Voliboli zaanza rasmi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Fainali za Ligi ya Voliboli ya msimu wa 2025/2026 zilianza Ijumaa katika Ukumbi wa Kasarani huku mabingwa wa zamani Kenya Pipeline Volleyball Club wakipambana na Kenya Prisons Volleyball Club upande wa wanawake.
Kwa upande wa wanaume, Chema Volleyball Club walikabiliana na Kenya
Advertisement
Advertisement




