Back to home
Wazee wa Maa watishia kumpinga Ruto kwa mzozo wa Amboseli
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Baraza la wazee wa Jamii ya Maa wametishia kuongoza jamii Hiyo kutpinga azma ya Rais William Ruto ya kupata muhula wa Pili ofisini Iwapo mzozo unaozingira Uhamisho wa Usimamizi wa Mbuga ya Kitaifa ya Amboseli kutoka serikali kuu hadi serikali ya kaunti ya Kajiado hautatuliwa. Zo
Advertisement
Advertisement




