Back to home

Kenya Kwanza na serikali jumuishi waimarisha kampeni za Ruto 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 18, 2026
1h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza na wenzao wa Serikali jumuishi waliendeleza siasa za kumuunga mkono Rais William Ruto kwa kipindi cha pili cha uongozi. Wakizungumza kule Mumias, Lugari na Budalangi Viongozi hao wameahidi kuwatoa kijasho upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.
Advertisement