Back to home
Mwanaume wa miaka 38 apatikana amefariki nyumbani Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)July 20, 2026
19h ago
wingu la simanzi lilitanda mapema jumapili katika kijiji cha shiangalamwe, wadi ya mbakalo katika eneo bunge la tongaren, baada ya mwanaume mwenye umri wa miaka 38 kupatikana amefariki ndani ya nyumba yake.
Advertisement
Advertisement




