Back to home

Zaidi ya wanajeshi 50,000 wa KDF kunufaika na mpango wa nyumba za bei nafuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 20, 2026
18h ago
Wanajeshi zaidi elfu Hamsini wa KDF sasa watanufaika na mpango wa serikali wa kumiliki nyumba za bei nafuu kupitia mkopo wa nyumba, unaotoza riba ya asilimia nne.
Advertisement