Back to home
Kenya Kwanza yapuuza ushindi wa DCP Ol Kalou
video
C
Citizen TV (Youtube)July 20, 2026
13h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamesisitiza kuwa ushindi wa DCP katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou si kielelezo cha mwelekeo wa siasa nchini, wakidai kuwa Rais William Ruto bado ana ushawishi mkubwa. Wakizungumza katika Kaunti ya Kericho, viongozi hao wamesema Rigathi Gachagua na wandan
Advertisement
Advertisement





