Back to home

Wasomi wa Turkana wataka kupewa kipaumbele katika ajira za uchimbaji mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 21, 2026
5h ago
Kampuni ya uchimbaji mafuta ya Gulf energy inapojiandaa kuanza zoezi ya kuchimba visima vya mafuta Turkana kuanzia mwezi ujao,vijana wasomi Turkana waliohitimu katika taaluma ya mafuta na gesi,wametoa wito kwa kampuni hiyo kuwapa kipaumbele kwa nafasi za ajira,wakidai kuwa hue
Advertisement