Back to home
Mombasa: Maelfu ya wakazi wafaidika na miradi ya maendeleo ya jamii yenye thamani ya zaidi ya Sh130M
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 21, 2026
6h ago
Maelfu ya wakazi katika Kaunti ya Mombasa wamefaidika na miradi ya maendeleo ya jamii yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 130, inayotekelezwa na shirika la Shining Hope for Communities.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told b
Advertisement
Advertisement


