Back to home
NCP-CDK yaitaka serikali kuwasajili watu wenye ulemavu kwenye SHA ili wapate huduma bora za afya
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 21, 2026
4h ago
Muungano wa kutetea haki za walezi wa watoto wenye ulemavu nchini (NCP-CDK) umeitaka serikali, kupitia Idara ya Watoto, kuwasajili watu wenye ulemavu katika mpango wa SHA ili wapate huduma bora za afya.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday
Advertisement
Advertisement





