Back to home
Kizaa nje ya kiwanda cha Keroche baada ya madalali kufungiwa nje
video
C
Citizen TV (Youtube)July 21, 2026
3h ago
Kizaa kilishuhudiwa nje ya kiwanda cha kutengeneza mvinyo cha Keroche eneo la Naivasha, kaunti ya Nakuru, baada ya madalali wanaodai kupewa idhini na mahakama kufungiwa nje ya kiwanda hicho.
Advertisement
Advertisement




