Back to home

Kenya Kwanza yamjibu Gachagua kuhusu ushindi wa Ol Kalou

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 21, 2026
3h ago
Viongozi wa Kenya kwanza kwa mara nyingine wamemfokea aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua dhidi ya majigambo ya matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol kalou wakisema, uchaguzi huo ulikuwa baina ya DCP na Jubilee na wala sio Kenya Kwanza. Wakizungumza eneo bunge la Lafey kaunti ya M
Advertisement