Back to home
Mawakili wasusia vikao kortini
video
C
Citizen TV (Youtube)July 22, 2026
2h ago
viongozi wa chama cha mawakili nchini ( LSK Nairobi nao wawaagiza wanachama wake kususia vikao vya mahakama kwa madai ya ufisadi, mrundiko wa kesi mahakamani na kujikokota kwa shughuli za mahakama nchini
Advertisement
Advertisement









