Back to home

Mahakama yatupilia mbali kesi dhidi ya bajeti ya Bunge la Kaunti ya Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 22, 2026
2h ago
Ni afueni kwa wafanyakazi wa bunge la kaunti ya Busia baada ya mahakama kuu ya Busia kutupilia mbali kesi iliyofikishwa mahakamani humo kupinga kupitishwa kwa bajeti ya mwaka wa kifedha 2026/27 ya shilingi milioni 800.
Advertisement