Back to home

Washindi wa Shabikia World Cup wajinyakulia Sh1 milioni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 22, 2026
2h ago
Mfanyabiashara kutoka Kitengela Polycap Lumumba, Ketry Kusa kutoka Thika na Churchill Oketch kutoka Migori ndio washindi wa mwisho wa kampeni ya Shabikia World Cup Kishabiki baada ya kujishindia jumla ya shilingi milioni moja. Lumumba alishinda shilingi nusu milioni, Ketry akapa
Advertisement