Back to home
Wakazi maeneo ya Kivani Makueni waelezea kufurahishwa na ujenzi huu wa bwawa mto Kaiti
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Wakaazi wa maeneo ya Kivani eneobunge la Kaiti kaunti ya Makueni waelezea furaha yao baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bwawa mto Kaiti. Wakazi hawa wasema bwawa hili litashughulikia pakubwa uhaba wa maji kwenye eneo hilo na kufanikisha ukuzaji wa miti ili kusaidia katika harakati
Advertisement
Advertisement




