Back to home
Ruto asema upinzani hauna ajenda ya maendeleo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Rais William Ruto amewasuta viongozi wa upinzani akisema kuwa hawana mpango wa kutekeleza maendeleo nchini.
Akikutana na mafundi wa Jua Kali 5,000 katika Ikulu ya Nairobi, Rais Ruto ametaja matamshi ya Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuhusu nyumba za bei nafuu kuwa ya kupotosha.
Advertisement
Advertisement





