Back to home

Ukame waharibu zaidi ya asilimia 30 ya mbegu ya mahindi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 23, 2026
1h ago
Taifa limepoteza zaidi ya asilimia 30 ya mbegu ya mahindi msimu huu, kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo. Hata hivyo, wakulima wanasema kuwa zaidi ya nusu ya mazao yao yameharibikia shambani kutokana na uhaba wa mvua katika kaunti ya Trans Nzoia, eneo linalojulikana kama ghala la tai
Advertisement