Back to home
Mahakama yatupilia mbali kesi iliyotaka maspika Wetang’ula na Kingi kutoshiriki katika siasa
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi iliyokuwa ikitaka kuwazuia Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetang’ula, na mwenzake wa Seneti, Amason Kingi, kushiriki katika shughuli zinazodaiwa kuwa za kisiasa.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday a
Advertisement
Advertisement




