Back to home
Rigathi Gachagua asema matokeo ya Ol Kalou ni kionjo tu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 23, 2026
1h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua, sasa ametangaza kuongeza makali ya viongozi wote kutoka mlima Kenya wanaounga mkono serikali ya Kenya Kwanza. Kulingana na Gachagua, juhudi za wananchi kupiga kura kwa asilimia kubwa kwa viongozi wa DCP na kuwaonyesha kivumbi wale wa Kenya Kwanza n
Advertisement
Advertisement



