Back to home
Mikakati ya baraza la magavana ya kuzuia vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 24, 2026
2h ago
Kenya yapiga hatua katika kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi kupitia ushirikiano kati ya serikali za kaunti, lakini wataalamu wa afya waonya kuwa vifo vya watoto wachanga bado ni changamoto kubwa inhitajiyo hatua za haraka.
Advertisement
Advertisement





