Back to home
Wakulima katika kauti ya Kericho wapinga pendekezo la serikali la kuhamisha ushuru wa miwa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 24, 2026
1h ago
Wakulima wa miwa wapinga pendekezo la serikali ya kuhamisha ushuru wa zao hilo kutoka bodi ya miwa nchini hadi kwenye asasi nyingine mpya.Wakizungumza huko Kipsige kauti ya Kericho, wakulima hao wasema hatua hiyo itaathiri mabadiliko yaliyofanywa ya kuboresha sekta hiyo.
Advertisement
Advertisement




