Back to home
Baraza la magavana lawashutumu makatibu wakuu
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 24, 2026
2h ago
Baraza la magavana, COG, limewashutumu makatibu wakuu kwa kutoa maelekezo kwa magavana kuajiri wafanyakazi wa mpango wa afya kwa wote (Universal Health Coverage - UHC) kwa masharti ya ajira ya kudumu na ya kustahili pensheni.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan
Advertisement
Advertisement





