Back to home

Baraza la magavana lawashutumu makatibu wakuu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 24, 2026
2h ago
Baraza la magavana, COG, limewashutumu makatibu wakuu kwa kutoa maelekezo kwa magavana kuajiri wafanyakazi wa mpango wa afya kwa wote (Universal Health Coverage - UHC) kwa masharti ya ajira ya kudumu na ya kustahili pensheni. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan
Advertisement