Back to home

Harambee Starlets yawasili Morocco kwa AFCON

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 24, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake, Harambee Starlets, imewasili nchini Morocco ikiwa imesalia siku mbili kabla ya kumenyana na wenyeji katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake. Starlets itaanza kampeni yake kwa kibarua kigumu dhidi ya Morocco, ikil
Advertisement