Back to home
Babu Owino: 2027 tutashikana ana kwa ana, bega kwa bega tupeleke Ruto nyumbani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 25, 2026
2h ago
Babu Owino: 2027 tutashikana ana kwa ana, bega kwa bega tupeleke Ruto nyumbani. Kabila zote zitashikana kwasababu shida ya Mluhya ndio shida ya Mkikuyu, shida ya Mkamba ndio shida ya Mjaluo pia. Shida zetu ni gharama ya maisha na corruption
Advertisement
Advertisement





