Back to home
Serikali yaahidi wakaazi wa Ol Jorai kuwa malamishi yao ya ukosefu wa hatimiliki yatatatuliwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 25, 2026
1h ago
Serikali imeahidi wakazi wa Ol Jorai kaunti ya Nakuru kuwa malamishi yao ya ukosefu wa hatimiliki, miundo misingi na huduma za serikali yatatatuliwa kabla ya uchaguzi mkuu mwaka ujao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenya
Advertisement
Advertisement




