Back to home
Ruto ahakikishia Wakenya uchaguzi wa amani 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)July 26, 2026
1h ago
Rais William Ruto amewahakikishia Wakenya kuwa uchaguzi mkuu ujao utakuwa wa amani na utulivu licha ya mvutano wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini.
Akizungumza kuhusu hali ya usalama, Rais Ruto alisema magenge ya vijana yanayozua ghasia katika mikutano ya kisiasa ni tishio kwa usala
Advertisement
Advertisement





