Back to home

Washukiwa wanane wakamatwa kwa kuuza mbolea iliyoharibika Uasin Gishu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 26, 2026
1h ago
Washukiwa wanane wanaodaiwa kuhusika na uuzaji wa mbolea iliyoharibika wanazuiliwa na polisi katika Kaunti ya Uasin Gishu baada ya kukamatwa usiku wa Jumamosi. Akithibitisha kukamatwa kwao, Kamishna wa Kaunti ya Uasin Gishu, Edison Yale, alisema magunia 4,000 ya mbolea iliyohari
Advertisement