Back to home
Jamii ya Ogiek Nandi yamtaka Rais Ruto kuharakisha mpango wa makazi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Wawakilishi wa jamii ya Ogiek katika Kaunti ya Nandi wamemwomba Rais William Ruto kuharakisha mchakato wa kuwapa makazi ya kudumu kabla ya uchaguzi mkuu ujao.
Advertisement
Advertisement





