Back to home

Waziri Deborah Barasa ahimiza upandaji wa mikoko zaidi kuhimili mabadiliko ya tabianchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 27, 2026
2h ago
Waziri wa Mazingira na Misitu, Deborah Barasa, aliongoza maadhimisho ya siku ya kimataifa ya upanzi wa mikoko huko Lamu. Barasa amewahimiza wakazi kupanda mikoko zaidi ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Advertisement