Back to home

Sukari yakosa ladha Busia: Huenda viwanda vya kusaga miwa katika taifa la Kenya kufungwa tena

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 27, 2026
2h ago
Hofu ya viwanda vya kusaga miwa katika taifa la Kenya kufungwa inazidi kutanda miongoni mwa wakulima na viwanda vya kusaga miwa Magharibi, kufuatia hatua ya baadhi ya viwanda kuagiza sukari ya mabilioni kuingia hapa nchini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan ne
Advertisement