Back to home
Pwani yapigania nafasi ya naibu rais 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Viongozi kutoka eneo la Pwani wamezidisha juhudi za kutaka eneo hilo lipate nafasi ya naibu rais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Katika mikutano iliyofanyika kaunti za Lamu na Tana River, viongozi hao walihimiza wakazi wa Pwani kujisajili kwa wingi kama wapiga kura ili kuimarisha ush
Advertisement
Advertisement




