Back to home

ODM yataka nafasi ya naibu rais 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 27, 2026
1h ago
Viongozi wa chama cha ODM wamesisitiza kuwa nafasi ya naibu rais katika Uchaguzi Mkuu ujao ni ya chama hicho. Naibu kinara wa ODM, Simba Arati, na kiongozi wa wachache katika Bunge la Kitaifa, Junet Mohamed, wanasema chama hicho kinataka kupewa nafasi ya naibu rais pamoja na nus
Advertisement