Back to home
Kiambu yajenga barabara licha ya kuchelewa kwa fedha
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Huku kaunti mbalimbali nchini zikiendelea kukabiliwa na kucheleweshwa kwa fedha za Hazina ya Barabara kutoka kwa Serikali Kuu, Kaunti ya Kiambu imechukua mkondo tofauti kuhakikisha ajenda yake ya maendeleo inaendelea.
Serikali ya Kaunti ya Kiambu imepeleka mitambo yake ya ujenzi
Advertisement
Advertisement





