Back to home

Jamii zinazoishi karibu na msitu wa Aberdare katika Kaunti ya Murang’a zalalamika

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Wakazi wanaoishi karibu na msitu wa Aberdare katika Kaunti ya Murang’a waitaka serikali kuboresha miundomsingi na kuanzisha lango rasmi la kuingia katika hifadhi ya Aberdare kupitia eneo hilo.
Advertisement