Back to home

Jaji mkuu Martha Koome ataka sheria kali kukabiliana na dhulma za kijinsia dhidi ya watoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Jaji Mkuu Martha Koome ametaka kutekelezwa kwa mswada wa dhulma za kijinsia ili kukabiliana na ongezeko la visa vya dhulma za kijinsia na ngono kwa watoto nchini. Akizunguma huko Mombasa katika kongamano la utekelezaji wa haki koome na makatibu Anne Wang'ombe wa Jinsia na Carren
Advertisement