Back to home
Trans Nzoia: Familia moja yaishi kwa huzuni baada ya mwana wao kuzikwa Dubai bila idhini yao
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 28, 2026
2h ago
Familia moja kutoka eneo la Ngonyek, Kaunti ya Trans Nzoia, inaishi kwa huzuni baada ya mwana wao kuaga dunia katika hali tata na mwili wake kuzikwa bila idhini yao huko Ughabuni, mjini Dubai. Sasa familia hiyo inaitaka serikali kusaidia ili mwili huo ufukuliwe na kusafirishwa ha
Advertisement
Advertisement




