Back to home

Zaidi ya familia 2500 za jamii ya Sengwer wanahofia kufurushwa tena kutoka kwa msitu Embobut

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Zaidi ya familia 2500 za jamii ya Sengwer wanaoishi katika msitu asilia wa Embobut, Marakwet Mashariki, wanahofia kufurushwa tena kutoka kwa msitu huo baada ya serikali kupitia idara ya kulinda misitu KFS kutoa ilani ya kuwataka watoke. Subscribe and watch NTV Kenya live for lat
Advertisement