Back to home
IEBC yaanza kukusanya maoni kuhusu kanuni za matumizi ya fedha za kampeni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 28, 2026
1h ago
Tume ya Uchaguzi IEBC inaendesha mikutano ya kukusanya maoni ya Wakenya kuhusu kanuni mpya za tume hiyo kuhusu matumizi ya fedha za wanasiasa katika kampeni zao. IEBC imewarai Wakenya kuamini kuwa tume hiyo itaendesha uchaguzi huru na wa haki mwaka wa 2027, na kwamba tayari imedh
Advertisement
Advertisement


