Back to home
Magavana wawahimiza wakazi wa k.mashariki kujisajili kuwa wapigakura
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
2h ago
Baadhi ya magavana wahudhuriao kongamano la ugatuzi mjini garissa, wawahimiza wakazi wa kaskazini mashariki kujiandikisha kwa wingi kuwa wapigakura ili kuwa na usemi katika uchaguzi mkuu ujao.
Advertisement
Advertisement




