Back to home
Jaji mkuu Martha Koome ataka taasisi zijiandae mapema kwa uchaguzi mkuu wa mwaka ujao
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
1h ago
Baraza la kitaifa kuhusu utekelezaji wa haki limeanza kujianda kwa uchaguzi mkuu ujao likisema kamati zote zitaanza kupokea mafunzo ili kujiandaa kikamilifu kwa uchaguzi huru na wa haki. Jaji mkuu Martha Koome ambaye ni mwenyekiti wa baraza hilo ametaka taasisi husika kufanya kaz
Advertisement
Advertisement


